100% tevredenheidsgarantie Direct beschikbaar na je betaling Lees online óf als PDF Geen vaste maandelijkse kosten 4.2 TrustPilot
logo-home
Tentamen (uitwerkingen)

MTIHANI WA KISWAHILI

Beoordeling
-
Verkocht
-
Pagina's
13
Cijfer
A+
Geüpload op
03-11-2022
Geschreven in
2022/2023

MTIHANI WA KISWAHILI

Instelling
Vak









Oeps! We kunnen je document nu niet laden. Probeer het nog eens of neem contact op met support.

Geschreven voor

Vak

Documentinformatie

Geüpload op
3 november 2022
Aantal pagina's
13
Geschreven in
2022/2023
Type
Tentamen (uitwerkingen)
Bevat
Antwoorden

Onderwerpen

Voorbeeld van de inhoud

Jina …………………………………………………………Nambari yako :…………….…..
……………..
Sahihi ………………..……………..
102/2 Tarehe: ………………………………
KISWAHILI
KARATASI 2
LUGHA
2022
MUDA: SAA 2½

SUNRISE 2 EVALUATION EXAMS - 2022
Hati ya kuhitimu kisomo cha sekondari Kenya (K.C.S.E)


102/2
Kiswahili
Karatasi 2

MAAGIZO
 Andika jina lako na namba yako katika nafasi ulioachiwa
hapo juu.
 Jibu maswali yote.
 Andika majibu yako katika nafasi ulizoachiwa katika kijitabu
hiki cha maswali.


KWA MATUMIZI YA MTAHINI PEKEE
SWALI UPEO ALAMA

1 15

2 15

3 40

4 10



Page 1 of 13

, Jumla 80

1. UFAHAMU – (ALAMA 15)


Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali yanayofuatia.


Takwimu za tafiti za umaskini kila mara huonyesha kuwa bara la Afrika ndilo bara
maskini kabisa kote duniani. Takriban wakaazi kiasi cha asilimia themanini hawawezi
kumudu kutumia dola moja kwa siku. Toka kaskazini hadi kusini. mashariki hadi
magharibi mwa bara, makaazi ya vibanda yametamalaki. Wakaazi wengi hulala njaa
kutokana na ukosefu wa chakula. Watu wa mitaani waliovaa mararuraru wamejaa
katika miji ya bara hili. Swali ni: Je, kwa nini umaskini umeliganda bara la Afrika hivi
mithili ya kupe? Kwa nini bara huselelea katika lindi la uchochole?
Ili kuelewa sababu za umaskini kuganda barani Afrika, yampasa mtu ima fa ima
kurejelea historia ya bara hili. Kwa kipindi cha karne nyingi, Afrika ilidhibitiwa na
walowezi pamoja na mabeberu. Wanawake ambao wangelistwawisha bara hili
kiuchumi walitwaliwa kimabavu na kupelekwa, huku wamefungwa minyororo,
kustawisha uchumi wa mabara mengine. Afrika ikaporwa nguvu ambayo ni rasilmali
kuu katika ustawishaji wa uchumi. La kusikitisha ni kuwa Afrika haikufidiwa kutokana
na wizi huu. Badala yake iliongezewa mizigo mingine.
Baada ya kipindi cha biashara ya utumwa kumalizika, Afrika ilijipata katika janga
jingine. Wakoloni wakaliingilia bara kwa pupa. Wakaligawanya katika koloni
mbalimbali miongoni mwao. Wakaingiwa na wendawazimu kuiba malighafi ya bara
hili. Wakaiba mashamba, madini, miti na chochote cha maana walichokipata. Badala
ya malighafi haya kutumika kunawirisha bara la Afrika, yalitwaliwa kustawisha chumi
za walikotoka wakoloni. Afrika ikaachwa kuzidi kudidimia katika lindi la umaskini.
Wakoloni walipotoka barani Afrika na kuzipa dola nyingi za Afrika ‘uhuru’, waliacha
mkururo wa madhila. Madhila haya hayangeikubalia Afrika kujikomboa kutoka katika
biwi la uchochole. Tatizo la kwanza na kubwa zaidi ni wakoloni kugawanya na
kukatakata Afrika katika mataifa mengi. Mgawanyo huu ukawa haukufuata utaratibu
wowote. Kwa sababu hii, watu wa nasaba moja wakawekwa katika nchi tofauti.
Mathalani , watu wa nasaba ya Kisomali waligawanywa na kuwekwa chini ya nchi huru
ya Somali, wengine chini ya dola la Uhabeshi, huku wengine wakiwa nchini Kenya na
Jibuti. Watu kama hawa hawakutaka mpango huu. Waliokuwa Kenya na Uhabeshi
wakachukua silaha na kupigana ili warejeshwe chini ya himaya moja ya taifa huru la
Somali. Watu kama hawa wakatumia muda mwingi kupigana; muda ambao
ungetumika kuinua Afrika kiuchumi. Mapigano haya ya wenyewe kwa wenyewe
yamekithiri kote katika bara la Afrika.
Halikadhalika, mkoloni hakufanya juhudi zozote za kuanzisha viwanda ambavyo
vingenyanyua uchumi wa Afrika na kuwatoa Waafrika katika biwi la ufukara.
Palipokuwa na ari yoyote ya kuanzisha kiwanda, kilipoanzishwa hakikusaidia Afrika
kiuchumi. Vilikuwa viwanda vya kupunguza zigo la bidhaa na kuzifanya kuwa nyepesi
ili zisafirishwe kwa ajili ya viwanda vya nchi walizotoka wakoloni.
Kwa kipindi cha muda ambao mkoloni amekuwa na maingiliano na wakaazi wa
Afrika, amehakikisha kuwa mwafrika amekuwa mtegemezi wake. Malighafi ya Afrika
Page 2 of 13
€6,99
Krijg toegang tot het volledige document:

100% tevredenheidsgarantie
Direct beschikbaar na je betaling
Lees online óf als PDF
Geen vaste maandelijkse kosten

Maak kennis met de verkoper
Seller avatar
Mwombe

Ook beschikbaar in voordeelbundel

Maak kennis met de verkoper

Seller avatar
Mwombe Optpass Ltd
Volgen Je moet ingelogd zijn om studenten of vakken te kunnen volgen
Verkocht
0
Lid sinds
3 jaar
Aantal volgers
0
Documenten
13
Laatst verkocht
-

0,0

0 beoordelingen

5
0
4
0
3
0
2
0
1
0

Recent door jou bekeken

Waarom studenten kiezen voor Stuvia

Gemaakt door medestudenten, geverifieerd door reviews

Kwaliteit die je kunt vertrouwen: geschreven door studenten die slaagden en beoordeeld door anderen die dit document gebruikten.

Niet tevreden? Kies een ander document

Geen zorgen! Je kunt voor hetzelfde geld direct een ander document kiezen dat beter past bij wat je zoekt.

Betaal zoals je wilt, start meteen met leren

Geen abonnement, geen verplichtingen. Betaal zoals je gewend bent via iDeal of creditcard en download je PDF-document meteen.

Student with book image

“Gekocht, gedownload en geslaagd. Zo makkelijk kan het dus zijn.”

Alisha Student

Veelgestelde vragen