100% de satisfacción garantizada Inmediatamente disponible después del pago Tanto en línea como en PDF No estas atado a nada 4.2 TrustPilot
logo-home
Examen

MTIHANI WA KISWAHILI

Puntuación
-
Vendido
-
Páginas
13
Grado
A+
Subido en
03-11-2022
Escrito en
2022/2023

MTIHANI WA KISWAHILI

Institución
Grado









Ups! No podemos cargar tu documento ahora. Inténtalo de nuevo o contacta con soporte.

Escuela, estudio y materia

Grado

Información del documento

Subido en
3 de noviembre de 2022
Número de páginas
13
Escrito en
2022/2023
Tipo
Examen
Contiene
Respuestas

Temas

Vista previa del contenido

Jina …………………………………………………………Nambari yako :…………….…..
……………..
Sahihi ………………..……………..
102/2 Tarehe: ………………………………
KISWAHILI
KARATASI 2
LUGHA
2022
MUDA: SAA 2½

SUNRISE 2 EVALUATION EXAMS - 2022
Hati ya kuhitimu kisomo cha sekondari Kenya (K.C.S.E)


102/2
Kiswahili
Karatasi 2

MAAGIZO
 Andika jina lako na namba yako katika nafasi ulioachiwa
hapo juu.
 Jibu maswali yote.
 Andika majibu yako katika nafasi ulizoachiwa katika kijitabu
hiki cha maswali.


KWA MATUMIZI YA MTAHINI PEKEE
SWALI UPEO ALAMA

1 15

2 15

3 40

4 10



Page 1 of 13

, Jumla 80

1. UFAHAMU – (ALAMA 15)


Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali yanayofuatia.


Takwimu za tafiti za umaskini kila mara huonyesha kuwa bara la Afrika ndilo bara
maskini kabisa kote duniani. Takriban wakaazi kiasi cha asilimia themanini hawawezi
kumudu kutumia dola moja kwa siku. Toka kaskazini hadi kusini. mashariki hadi
magharibi mwa bara, makaazi ya vibanda yametamalaki. Wakaazi wengi hulala njaa
kutokana na ukosefu wa chakula. Watu wa mitaani waliovaa mararuraru wamejaa
katika miji ya bara hili. Swali ni: Je, kwa nini umaskini umeliganda bara la Afrika hivi
mithili ya kupe? Kwa nini bara huselelea katika lindi la uchochole?
Ili kuelewa sababu za umaskini kuganda barani Afrika, yampasa mtu ima fa ima
kurejelea historia ya bara hili. Kwa kipindi cha karne nyingi, Afrika ilidhibitiwa na
walowezi pamoja na mabeberu. Wanawake ambao wangelistwawisha bara hili
kiuchumi walitwaliwa kimabavu na kupelekwa, huku wamefungwa minyororo,
kustawisha uchumi wa mabara mengine. Afrika ikaporwa nguvu ambayo ni rasilmali
kuu katika ustawishaji wa uchumi. La kusikitisha ni kuwa Afrika haikufidiwa kutokana
na wizi huu. Badala yake iliongezewa mizigo mingine.
Baada ya kipindi cha biashara ya utumwa kumalizika, Afrika ilijipata katika janga
jingine. Wakoloni wakaliingilia bara kwa pupa. Wakaligawanya katika koloni
mbalimbali miongoni mwao. Wakaingiwa na wendawazimu kuiba malighafi ya bara
hili. Wakaiba mashamba, madini, miti na chochote cha maana walichokipata. Badala
ya malighafi haya kutumika kunawirisha bara la Afrika, yalitwaliwa kustawisha chumi
za walikotoka wakoloni. Afrika ikaachwa kuzidi kudidimia katika lindi la umaskini.
Wakoloni walipotoka barani Afrika na kuzipa dola nyingi za Afrika ‘uhuru’, waliacha
mkururo wa madhila. Madhila haya hayangeikubalia Afrika kujikomboa kutoka katika
biwi la uchochole. Tatizo la kwanza na kubwa zaidi ni wakoloni kugawanya na
kukatakata Afrika katika mataifa mengi. Mgawanyo huu ukawa haukufuata utaratibu
wowote. Kwa sababu hii, watu wa nasaba moja wakawekwa katika nchi tofauti.
Mathalani , watu wa nasaba ya Kisomali waligawanywa na kuwekwa chini ya nchi huru
ya Somali, wengine chini ya dola la Uhabeshi, huku wengine wakiwa nchini Kenya na
Jibuti. Watu kama hawa hawakutaka mpango huu. Waliokuwa Kenya na Uhabeshi
wakachukua silaha na kupigana ili warejeshwe chini ya himaya moja ya taifa huru la
Somali. Watu kama hawa wakatumia muda mwingi kupigana; muda ambao
ungetumika kuinua Afrika kiuchumi. Mapigano haya ya wenyewe kwa wenyewe
yamekithiri kote katika bara la Afrika.
Halikadhalika, mkoloni hakufanya juhudi zozote za kuanzisha viwanda ambavyo
vingenyanyua uchumi wa Afrika na kuwatoa Waafrika katika biwi la ufukara.
Palipokuwa na ari yoyote ya kuanzisha kiwanda, kilipoanzishwa hakikusaidia Afrika
kiuchumi. Vilikuwa viwanda vya kupunguza zigo la bidhaa na kuzifanya kuwa nyepesi
ili zisafirishwe kwa ajili ya viwanda vya nchi walizotoka wakoloni.
Kwa kipindi cha muda ambao mkoloni amekuwa na maingiliano na wakaazi wa
Afrika, amehakikisha kuwa mwafrika amekuwa mtegemezi wake. Malighafi ya Afrika
Page 2 of 13
$7.99
Accede al documento completo:

100% de satisfacción garantizada
Inmediatamente disponible después del pago
Tanto en línea como en PDF
No estas atado a nada

Conoce al vendedor
Seller avatar
Mwombe

Documento también disponible en un lote

Conoce al vendedor

Seller avatar
Mwombe Optpass Ltd
Seguir Necesitas iniciar sesión para seguir a otros usuarios o asignaturas
Vendido
0
Miembro desde
3 año
Número de seguidores
0
Documentos
13
Última venta
-

0.0

0 reseñas

5
0
4
0
3
0
2
0
1
0

Recientemente visto por ti

Por qué los estudiantes eligen Stuvia

Creado por compañeros estudiantes, verificado por reseñas

Calidad en la que puedes confiar: escrito por estudiantes que aprobaron y evaluado por otros que han usado estos resúmenes.

¿No estás satisfecho? Elige otro documento

¡No te preocupes! Puedes elegir directamente otro documento que se ajuste mejor a lo que buscas.

Paga como quieras, empieza a estudiar al instante

Sin suscripción, sin compromisos. Paga como estés acostumbrado con tarjeta de crédito y descarga tu documento PDF inmediatamente.

Student with book image

“Comprado, descargado y aprobado. Así de fácil puede ser.”

Alisha Student

Preguntas frecuentes